Raia wanatoweka kimya kimya. Familia zinaishi kwa maumivu bila majibu. Vyombo vya usalama havisemi neno. Lakini sauti moja ilipaza kilio hadharani.
"Watu wanapotekwa, kanisa kufungwa si suluhisho – bali ni ishara ya uoga wa watawala." – Askofu Josephat Gwajima
Askofu Gwajima alikemea utekaji, na Kanisa lake likafungwa. Je, kusema ukweli kuhusu uhalifu sasa ni kosa? Huu si uongozi. Huu ni ukandamizaji.